Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4 soma zaidi>>>
Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inatarajia kufanya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kwa Wadi ya Welezo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe.Jaji George Joseph...
TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) inawaomba wananchi, wapiga kura wa Jimbo la Mtambwe, vyama vya siasa, wenye nia ya kugombea, na wadau wengine wa uchaguzi kujitayarisha na kushiriki kikamilifu...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC),Mhe.Jaji George Joseph Kazi na Wajumbe sita akiwemo Mhe.Jaji Aziza Iddi Suwedi ambae ni Makamo Mwenyekiti wa Tume hiyo,Leo tarehe 11,Septemba,2023, wameanza ziara...
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja,Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud amepongeza uteuzi wa Mwenyekiti mpya wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) na kuongeza kuwa Wananchi wana imani na Tume hiyo. Mhe.Ayoub...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC),Mhe.Jaji George Joseph Kazi na Wajumbe sita akiwemo Mhe.Jaji Aziza Iddi Suwedi ambae ni Makamo Mwenyekiti wa Tume hiyo,Septemba 6,2023 na Septemba 7,2023,...
NA AHMED A. MOHAMMED-ZEC Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Mhe.Jaji George Joseph Kazi na Wajumbe sita wa Tume hiyo pamoja na Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi...
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imemteua Mheshimiwa Jaji Aziza Iddi Suweid kuwa Makamo Mwenyekiti wa Tume hiyo. Uteuzi huo umefanyika kwa mujibu wa ibara ya 119(2)(b) cha Katiba ya...
NA AHMED A. MOHAMMED-ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea na zoezi la utoaji wa elimu ya Mpiga kura ili kuhakikisha Taasisi za Elimu visiwani Zanzibar zinakuwa na uelewa...
Tume ya Uchaguzi Zanzibar
S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.
Simu: +255 242231489
Nukushi: +255 242233828