Tumia simu yako ya mkononi kujua kituo chako cha kujiandikisha, kituo cha kupiga kura pamoja na hali ya kadi yako kupitia mitandao yote ya simu ya mkononi.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe.Jaji Mkuu Mstaafu HAMID MAHMOUD HAMID akimkabidhi Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Ikulu Jijini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika Picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) na wajumbe sita pamoja na baadhi ya viongozi wa Taasisi mbalimbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) Agosti 28,2023 Ikulu Zanzibar.
MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR AKILA KIAPO.
Mhe.Jaji George Joseph Kazi akila kiapo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dr. Hussein Ali Mwinyi Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi(kushoto) akimuapisha Thabit Idarous Faina kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.
Makamo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Mhe.Jaji Aziza Iddi Suwedi akila kiapo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dr. Hussein Ali Mwinyi Ikulu Zanzibar.

Elimu ya Mpiga kura

Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4   soma zaidi>>>

Vituo vya Uandikishaji

Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za  Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Bofya hapa kupata orodha ya vituo vya kujiandikisha.

Mfumo wa Uchaguzi

Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni  wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi

Soma zaidi >>>

Habari na Matukio.

ZEC YAJING'ARISHA UCHAGUZI WADI YA WELEZO.

18 September 2023
ZEC YAJING'ARISHA UCHAGUZI WADI YA WELEZO.

Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) inatarajia kufanya Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kwa Wadi ya Welezo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28 mwaka huu. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe.Jaji George Joseph...

ZEC YAWATOA HOFU WANANCHI WA MTAMBWE.

13 September 2023
ZEC YAWATOA HOFU WANANCHI WA MTAMBWE.

TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) inawaomba wananchi, wapiga kura wa Jimbo la Mtambwe, vyama vya siasa, wenye nia ya kugombea, na wadau wengine wa uchaguzi kujitayarisha na kushiriki kikamilifu...

MWENYEKITI WA ZEC AANZA ZIARA PEMBA.

11 September 2023
MWENYEKITI WA ZEC AANZA ZIARA PEMBA.

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC),Mhe.Jaji George Joseph Kazi na Wajumbe sita akiwemo Mhe.Jaji Aziza Iddi Suwedi ambae ni Makamo Mwenyekiti wa Tume hiyo,Leo tarehe 11,Septemba,2023, wameanza ziara...

RC AYOUB AMPA TABASAM MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR.

08 September 2023
RC AYOUB AMPA TABASAM MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR.

Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja,Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud amepongeza uteuzi wa Mwenyekiti mpya wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) na kuongeza kuwa Wananchi wana imani na Tume hiyo. Mhe.Ayoub...

MWENYEKITI WA ZEC AKAGUA AFISI ZA WATENDAJI WAKE UNGUJA.

08 September 2023
MWENYEKITI WA ZEC AKAGUA  AFISI ZA WATENDAJI WAKE UNGUJA.

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC),Mhe.Jaji George Joseph Kazi na Wajumbe sita akiwemo Mhe.Jaji Aziza Iddi Suwedi ambae ni Makamo Mwenyekiti wa Tume hiyo,Septemba 6,2023 na Septemba 7,2023,...

RC AYOUB AKUTANA NA ZEC.

08 September 2023
RC AYOUB AKUTANA NA ZEC.

NA AHMED A. MOHAMMED-ZEC Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Mhe.Jaji George Joseph Kazi na Wajumbe sita wa Tume hiyo pamoja na Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi...

MHE.JAJI AZIZA IDDI SUWEDI MAKAMO MWENYEKITI MPYA ZEC.

28 August 2023
MHE.JAJI AZIZA IDDI SUWEDI MAKAMO MWENYEKITI MPYA ZEC.

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imemteua Mheshimiwa Jaji Aziza Iddi Suweid kuwa Makamo Mwenyekiti wa Tume hiyo. Uteuzi huo umefanyika kwa mujibu wa ibara ya 119(2)(b) cha Katiba ya...

ZEC YAAHIDI KUTOA ELIMU KWA TAASISI ZOTE ZA KIELIMU VISIWANI ZANZIBAR.

25 August 2023
ZEC YAAHIDI KUTOA ELIMU KWA TAASISI ZOTE ZA KIELIMU VISIWANI ZANZIBAR.

NA AHMED A. MOHAMMED-ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imeahidi kuendelea na zoezi la utoaji wa elimu ya Mpiga kura ili kuhakikisha Taasisi za Elimu visiwani Zanzibar zinakuwa na uelewa...

« »

Vituo vya uandikishaji

407

Vituo vya Kupiga Kura

1412

Waliojiandikisha

566,352

Majimbo

50

Wadi

110

 

 

Mawasiliano Yetu


Tume ya Uchaguzi Zanzibar

S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.

Simu: +255 242231489

Nukushi: +255 242233828

Mitandao ya Kijamii