Tumia simu yako ya mkononi kujua kituo chako cha kujiandikisha, kituo cha kupiga kura pamoja na hali ya kadi yako kupitia mitandao yote ya simu ya mkononi.
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe.Jaji Mkuu Mstaafu HAMID MAHMOUD HAMID akimkabidhi Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Ikulu Jijini Zanzibar
MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR, Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu HAMID MAHMOUD HAMID akiwa na wajumbe pamoja na watendaji wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar katika hafla ya ufungaji wa mafunzo ya zoezi la uchaguzi litakalofanyika October, 2020.
MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR AKILA KIAPO.
Mhe.Jaji Mkuu Mstaafu HAMID MAHMOUD HAMID akila kiapo mbele ya Rais Mstaafu wa Zanziabr na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dr. Ali Mohammed Shein Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi(kushoto) akimuapisha Thabit Idarous Faina kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.

Elimu ya Mpiga kura

Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4   soma zaidi>>>

Vituo vya Uandikishaji

Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za  Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Bofya hapa kupata orodha ya vituo vya kujiandikisha.

Mfumo wa Uchaguzi

Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni  wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi

Soma zaidi >>>

Habari na Matukio.

UN IMEAHIDI KUIMARISHA DEMOKRASIA YA TANZANIA

18 July 2022
UN IMEAHIDI KUIMARISHA DEMOKRASIA YA TANZANIA

Na Jaala Makame Haji - ZEC Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Jaji Mkuu (Mst) Mheshimiwa Hamid Mahmoud Hamid amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe maalum wa Maafisa kutoka...

WATENDAJI WA TUME WATAKIWA KUZISOMA MARA KWA MARA KANUNI, SHERIA, SERA NA MIONGOZO YA TUME

02 June 2022
WATENDAJI WA TUME WATAKIWA KUZISOMA MARA KWA MARA KANUNI, SHERIA, SERA NA MIONGOZO YA TUME

Na Jaala Makame Haji – ZEC Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Ndg. Khamis Kona Khamis amewataka watendaji wa Tume hiyo kujenga tabia ya kuzisoma mara kwa mara...

WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUWA NA UZALENDO

12 August 2021
WATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUWA NA UZALENDO

Na Jaala Makame Haji - ZEC Viongozi na watendaji katika Taasisi za Umma wameshauriwa kuwa wazalendo na kufuata maadili ya Kiutumishi wakati wanapotekeleza majukumu yao ya kila siku. Ushauri huo...

RAIS MWINYI APOKEA RIPOTI YA UCHAGUZI MKUU 2020

19 July 2021
RAIS MWINYI APOKEA RIPOTI YA UCHAGUZI MKUU 2020

Na Jaala Makame Haji - ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imekabidhi kwa Raisi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Hussein Ali Mwinyi ripoti ya...

ZAFAYCO YAIKABIDHI ZEC RIPOTI YA UANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU 2020

24 May 2021
ZAFAYCO YAIKABIDHI ZEC RIPOTI YA UANGALIZI  WA UCHAGUZI MKUU 2020

Na Jaala Makame Haji - ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imezitaka Taasisi zilizozoshiriki kuangalia Uchaguzi Mkuu kuwasilisha ripoti zao za uangalizi kwa kutoa mapendekezo yenye nia ya kujenga...

SMZ HAIJAHUSISHA MFADHILI BAJETI YA UCHAGUZI MKUU 2020

03 October 2020
SMZ  HAIJAHUSISHA MFADHILI BAJETI YA UCHAGUZI MKUU 2020

Na. Jaala Makame Haji- ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), itaendelea kushirikiana kwa karibu zaidi na wadau wa Uchaguzi ili kuhakikisha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika tarehe 27 na 28 Octoba...

ZEC:WAGOMBEA WA URAISI WAFIKIA WATANO

27 August 2020
ZEC:WAGOMBEA WA URAISI WAFIKIA WATANO

Na Jaala Makame Haji-ZEC Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe. Jaji Mkuu (Mst) HAMID MAHMOUD HAMID alisema Uteuzi wa wagombea wa kiti cha Urais unafanyika kwa mujibu wa...

ZEC YAANZA ZOEZI LA UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI WA WAGOMBEA WA NAFASI MBALI MBALI UCHAGUZI MKUU 2020

26 August 2020
ZEC YAANZA ZOEZI LA UTOAJI WA FOMU ZA UTEUZI WA WAGOMBEA WA NAFASI MBALI MBALI UCHAGUZI MKUU 2020

Na Jaala Makame Haji- ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imeanza zoezi la utoaji wa fomu za uteuzi wa kugombea nafasi mbali mbali katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28...

« »

Vituo vya uandikishaji

407

Vituo vya Kupiga Kura

1412

Waliojiandikisha

566,352

Majimbo

50

Wadi

110

 

 

Mawasiliano Yetu


Tume ya Uchaguzi Zanzibar

S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.

Simu: +255 242231489

Nukushi: +255 242233828

Mitandao ya Kijamii