Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4 soma zaidi>>>
Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi
Maafisa Wilaya wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wameshiriki katika uangalizi wa Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kwa upande wa Tanzania Bara ambapo wagombea 127 kutoka vyama 18 vya siasa...
Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF) imeendesha mafunzo ya siku moja ya kuwajenga uwezo na uelewa juu ya utoaji huduma wa Mfuko huo visiwani Zanzibar. Mafunzo hayo ya siku...
Wanasiasa watakiwa kubadilika na kuwa wakweli ili kuepuka kuopotosha Umma Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Mhe.Jaji George J. Kazi amewataka Wanasiasa kubadilika na kuwa wakweli wanapoeleza shughuli...
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), imeandikisha jumla ya Wapiga Kura Wapya wapatao 57,883 katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa awamu ya kwanza. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa...
Leo tarehe 24 Januari 2024 Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Ndugu Thabit Idarous aliikaribisha Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi inayotathmini utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo na...
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imemaliza zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura Wapya kwa awamu ya kwanza na inatarajia kufanya zoezi la Uandikishaji kwa awamu ya pili kabla ya Uchaguzi Mkuu...
23 Disemba 2023 Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jaji George Joseph Kazi amewataka wananchi walio timiza sifa za kupiga kura kujitokeza kuendelea kujitokeza katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari...
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imewaasa Wakuu wa Vituo na Makarani wa Uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kujiepusha na ushabiki wa kisiasa katika kipindi chote cha...
Tume ya Uchaguzi Zanzibar
S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.
Simu: +255 242231489
Nukushi: +255 242233828