Tumia simu yako ya mkononi kujua kituo chako cha kujiandikisha, kituo cha kupiga kura pamoja na hali ya kadi yako kupitia mitandao yote ya simu ya mkononi.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Mhe.Jaji Mkuu Mstaafu HAMID MAHMOUD HAMID akimkabidhi Ripoti ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Ikulu Jijini Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika Picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) na wajumbe sita pamoja na baadhi ya viongozi wa Taasisi mbalimbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) Agosti 28,2023 Ikulu Zanzibar.
MWENYEKITI WA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR AKILA KIAPO.
Mhe.Jaji George Joseph Kazi akila kiapo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dr. Hussein Ali Mwinyi Ikulu Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi(kushoto) akimuapisha Thabit Idarous Faina kuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.
Makamo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Mhe.Jaji Aziza Iddi Suwedi akila kiapo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dr. Hussein Ali Mwinyi Ikulu Zanzibar.

Elimu ya Mpiga kura

Tume ya uchaguzi ya Zanzibar inajukumu la kusimamia, kukuza na kuratibu elimu ya wapiga kura kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi Nam.4   soma zaidi>>>

Vituo vya Uandikishaji

Maeneo ya kupigia kura katika majimbo mengi ya uchaguzi yamo katika majengo ya umma kama vile skuli, kumbi za kijamii au Ofisi za  Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Bofya hapa kupata orodha ya vituo vya kujiandikisha.

Mfumo wa Uchaguzi

Mfumo wa uchaguzi unaotumika katika kuchagua Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi na Madiwani ni  wa mgombea anayepata kura nyingi kuwashinda wagombea wengine ndiye huwa mshindi

Soma zaidi >>>

Habari na Matukio.

ZEC YASHIRIKI UANGALIZI UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI TANZANIA BARA.

25 March 2024
ZEC YASHIRIKI UANGALIZI UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI TANZANIA BARA.

Maafisa Wilaya wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) wameshiriki katika uangalizi wa Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kwa upande wa Tanzania Bara ambapo wagombea 127 kutoka vyama 18 vya siasa...

ZHSF YAFIKA ZEC

20 February 2024
ZHSF YAFIKA ZEC

Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar (ZHSF) imeendesha mafunzo ya siku moja ya kuwajenga uwezo na uelewa juu ya utoaji huduma wa Mfuko huo visiwani Zanzibar. Mafunzo hayo ya siku...

WANASIASA WAASWA KUACHA SIASA ZA CHUKI.

20 February 2024
WANASIASA WAASWA KUACHA SIASA ZA CHUKI.

Wanasiasa watakiwa kubadilika na kuwa wakweli ili kuepuka kuopotosha Umma Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Mhe.Jaji George J. Kazi amewataka Wanasiasa kubadilika na kuwa wakweli wanapoeleza shughuli...

ZEC YAANDIKISHA WAPIGA KURA WAPYA 57,883.

15 February 2024
ZEC YAANDIKISHA WAPIGA KURA WAPYA 57,883.

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), imeandikisha jumla ya Wapiga Kura Wapya wapatao 57,883 katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa awamu ya kwanza. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa...

KAMATI YA BAJETI YAFIKA ZEC

24 January 2024
KAMATI YA BAJETI YAFIKA ZEC

Leo tarehe 24 Januari 2024 Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Ndugu Thabit Idarous aliikaribisha Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi inayotathmini utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo na...

MWENYEKITI WA ZEC ATOA SHUKURANI KWA WADAU WA UCHAGUZI.

17 January 2024
MWENYEKITI WA ZEC ATOA SHUKURANI KWA WADAU WA UCHAGUZI.

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar imemaliza zoezi la Uandikishaji Wapiga Kura Wapya kwa awamu ya kwanza na inatarajia kufanya zoezi la Uandikishaji kwa awamu ya pili kabla ya Uchaguzi Mkuu...

ZEC YAWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA UANDIKISHAJI.

24 December 2023
ZEC YAWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA UANDIKISHAJI.

23 Disemba 2023 Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jaji George Joseph Kazi amewataka wananchi walio timiza sifa za kupiga kura kujitokeza kuendelea kujitokeza katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari...

MAKARANI NA WAKUU WA VITUO WATAKIWA KUJIEUPUSHA NA USHABIKI WA KISIASA KATIKA ZOEZI LA UANDIKISHAJI.

21 December 2023
MAKARANI NA WAKUU WA VITUO WATAKIWA KUJIEUPUSHA NA USHABIKI WA KISIASA KATIKA ZOEZI LA UANDIKISHAJI.

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imewaasa Wakuu wa Vituo na Makarani wa Uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kujiepusha na ushabiki wa kisiasa katika kipindi chote cha...

« »

Vituo vya uandikishaji

407

Vituo vya Kupiga Kura

1412

Waliojiandikisha

566,352

Majimbo

50

Wadi

110

 

 

Mawasiliano Yetu


Tume ya Uchaguzi Zanzibar

S.L.P 1001 - Zanzibar, Tanzania.

Simu: +255 242231489

Nukushi: +255 242233828

Mitandao ya Kijamii